• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Jamii yatakiwa ya kuwa tayari kuwapeleka watoto kupatiwa Chanjo ya dhidi ya maradhi ya Surua Rubella na Polio ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza kutokana na maradhi hayo.

Imewekwa: October 17th, 2019

Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Jerry Muro wakati wa uzinduzi wa kampeni ya kitaifa ya chanjo dhidi ya maradhi ya Surua Rubella na Polio katika Kituo cha Afya Usa -River Halmashauri ya Meru.

Muro Ametoa wito kwa wazazi kutosubiri kuona dalili za magonjwa hayo  bali wawapeleke watoto kupatiwa chanjo hiyo itawakinga na madhara mbalimbali ikiwemo kupooza ghafla.

Aidha amefahamisha kuwa  zoezi  la utoaji chanjo litaendelea kwa siku tano hadi tarehe 21  ambapo linawalenga watoto kuanzia umri wa miezi tisa hadi miaka mitano ambao ndio waathirika zaidi wa maradhi hayo.

Naye mganga mkuu kwenye Halmashauri hiyo,Dkt Maneno Focus amesema  lengo la kampeni hiyo ni kuzuia na kupambana na maradhi yanayozuilika kwa chanjo. itakayotolewa katika vituo vya kutolea huduma za afya vya kudumu 58 na maeneo 126 vya muda na malengo ni kuwafikia watoto 33136 kwa chanjo ya surua rubella na watoto 22112 kwa chanjo ya polio ya sindano.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Ndg.Emmanuel Mkongo ametoa wito kwa jamii  kuona umuhimu wa zoezi la chanjo kwa mustakabali wa afya za watoto kwani huduma hiyo inatolewa bure.

Akifafanua dalili za maradhi ya Surua na Rubella mratibu wa afya ya uzazi na watoto Sikudhani Mkama, mtoto kuwa na homa kali kuchuruzika mafua macho kuwa mekundu na kumwaga machozi hivyo akina mama wawapeleke watoto kupata chanjo.      

Zoezi la uzinduzi wa kampeni hiyo ya Chanjo limefanyika katika vituo vyote vya Halmash auri ya Meru    

Wazazi na watoto wakati wa uzinduzi wa Chanjo.

Muuguzi akitoa maelezo kabla ya chanjo kwa mtoto wa kwanza wakati qa uzinduzi.

Mkuu wa Wilaya Meru akiwa na mtoto wa kwanza kupata chanjo ya ugonjwa wa Surua, Rubella na polio wakati wa uzinduzi Halmashauri ya Wilaya ya Meru.

Picha ya pamoja.

Uzinduzi Nkonekoli.
uzinduzi leguruki lutheran zahanati ya shirika la dini.

zahanati ya Usa Rc.

Zahati ya King'ori.

Mtendaji wa kata kimundo akizindua zoezimtendaji wa kata kimundo akizindua zoezi.


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa