• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

VIKUNDI MTAKAVYO VIPITISHA VISIWE VIKUNDI VYA MIFUKONI -DC MKALIPA

Imewekwa: October 2nd, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Amir Mohamed Mkalipa

Mapema hii Leo amefungua Semina ya Mafunzo Kwa Maafisa maendeleo ya Jamii waliopitishwa kwenye kanuni zilizoboreshwa za uundaji wa Vikundi na uandishi wa maandiko ya Miradi ngazi ya Kata.

Mhe. Mkalipa amewataka Maafisa hao kwenda kutengeneza Vikundi vitakavyowanufaisha Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru na kuacha kupokea maelekezo ya watu kutoka mifukoni kwani wakati huu mpaka Ofisi ya Mkuu wa Wilaya imejiandaa vilivyo kuhakikisha Fedha hizo zinatolewa Kwa utaratibu nakurudishwa Kwa utaratibu unaohitajika.

Aidha wakati wa ufunguzi wa Mafunzo hayo Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl. Zainabu J. Makwinya amewasisitizia Maafisa hao kwenda kuzingatia maelekezo nakufata taratibu na kanuni kulingana na Yale watakayo fundishwa, ili kuepusha usumbufu na upotevu wa muda wakati wa kurudisha na kudai urejeshwaji wa Mikopo Kwa manufaa yawengine.

Mikopo hii Kwa Makundi haya Maalumu Vijana, Wanawake na wenye ulemavu ilisitishwa Mwaka 2023 mwezi wa 4 kwakutafuta utaratibu uliobora Kwa ajili ya ukopeshaji na kuwafikia walengwa wote wenye uhitaji ili kuleta Maendeleo ya mtanzania Mmoja mmoja. Hata hivyo,  Mikopo hiyo inatarajiwa kutolewa mapema mwanzoni mwa mwezi huu Oktoba Kwa wale wote wenye sifa.

Mkalipa amewasisitizia Maafisa maendeleo ya Jamii kwenda kupeleka Elimu ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wakati watakapokuwa wanatoa Elimu ya ukopaji wa Mikopo hiyo ili kusaidia kupata viongozi Bora watakao leta maendeleo kwenye Jamii zinazowazunguka.

Semina hii inatarajiwa kufanyika Ndani ya Siku tano.

fungua hapa kupata video,☝️

fungua hapa kupata video,☝️

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa