• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Viongozi wa Vijiji watakiwa kuzuia uharibifu wa mazingira kwenye maeneo yao.

Imewekwa: April 9th, 2019

Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Mhe.Jerry Muro amewataka Watendaji wa Vijiji ,Wenyeviti wa vijiji na Vitongoji  kuwachukulia hatua watu wote watakao bainika kuharibu mazingira kwa kukata  miti ovyo  na kufanya shughuli za kibinadamu kwenye vyanzo vya maji .

Mhe.Muro Ameelekeza hayo wakati maadhimisho ya siku ya upandaji Miti Wilayani humo,yaliyo fanyika  kwa kupanda Miti kwenye chanzo cha Maji Ngololo kilichopo Kata ya Ambureni ,kijiji cha Shangarai.

Akisoma Taarifa ya upandaji Miti katika Halmashauri ya Meru, Afisa Maliasili Ndg.Charles Mungure, amesema mwaka  huu 2018/2019 upandaji miti  unaendelea ambapo jumla ya  miche 587,000 imeshapandwa.

Mungure ameeleza kuwa   upandaji miti kwa mwaka uliopita 2017/2018 unamafanikio makubwa  kwani asilimia 95% ya miche iliopandwa  imepona na  inaendelea vizuri.

Nae Mhe.Diwani wa Kata hiyo Japhet Jackson ameomba uongozi wa Wilaya kudhibiti uharibifu wa mto Nduruma  unaofanywa na wananchi wa Halmashauri zinazopakana na kata hiyo.

Wananchi wa Shangarai wametoa wito kwa wanchi wenzao wa vijiji vingine 4 wanaotegemea chanzo cha maji Ngololo, kukitunza "tutaendelea  kutunza chanzo hichi kwani tumejenga uzio uliogharimu milioni tisa " amesema Komba mwanakijiji wa kijiji cha Shangarai

Aidha katika Hafla hiyo miche 600 imetolewa  kwa wananchi kupanda majumbani .

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru akizungumza wakati wa uzinduzi wa upandaji Miti.

Wananchi wa Kata ya Ambureni wakati wa uzinduzi wa siku ya upandaji Miti.


Afisa Maliasili Halmashauri ya Meru ,Charles Mungure akisoma taarifa ya upandaji Miti.

Wadau wa Mazingira na wananchi wakati wa uzinduzi wa siku ya upandaji miti.

Mkazi wa  Shangarai,Ndg.Komba akiyoa maoni .

Afisa Mtendaji wa Kata ya Ambureni  (kulia) akiwa na mtendaji wa Kijiji cha Shangarai.

Wananchi wa Kata ya Ambureni .


Mkuu wa Wilaya ya Arumeru ,Mhe.Jerry Muro akipanda Mti.

Mkurugenzi  Mtendaji wa Halmashauri ya Meru, Ndg. Emmanuel Mkongo akipanda mti.

Mhe.Diwani wa Kata ya Ambureni Jackson Japhet akipanda mti.

Wananchi Wakipanda Miti.


Wananchi baada ya kugawia miche 600 kwaajili ya kupanda majumbani.



 

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa