• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WAFANYABIASHARA MERU WAHAKIKISHIWA MAZINGIRA RAFIKI YA BIASHARA

Imewekwa: June 20th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru ,Mhe.Jerry Muro wakati wa mkutano na wafanya biashara wa  Halmashauri ya Meru,amewahakikishia kuwa  Wilaya hiyo itaendelea kuboresha mazingira ya kufanyabiashara ili waweze kufanya biashara zao  bila vikwazo na kulipa kodi kwaajili ya maendeleo ya Taifa .

Mkutano huo ambao  umefanyika ukumbi wa Halmashauri hiyo umekuwaa fursa kwa  wafanya biashara hao kueleza changamoto zinazo wasibu kuendesha biashara zao na swala zima la ulipaji kodi ambao wafanya biashara wengi wameomba elimu ya kina juu ya ulipaji kodi kufanyika kabla ya kudaiwa na kuchukuliwa hatua.

Miongoni mwa Changamoto walizotoa wafanya biashara hao ni kutokuwa na uelewa juu ya kodi  na tuzo mbalimbali pa wameshauri baadhi ya kodi kuunganishwa ili kuepusha kile walichiita usumbufu.Mmoja wa Wafanya biashara hao Prof.Justine Maeda amempongeza Mkuu wa Wilaya kwa kuandaa mkutano huo na kushauri kuwe na muendelezo wa mikutano na wafanya biashara ili waweze kutoa maoni yatakayoiletea mafanikio Wilaya hiyo .

Akihitimisha mkutano huo,Muro amewashukuru wafanya biashara kwa kuitikia wito wa kuhudhuria mkutano huo na kuwasihi kuwa waaminifu  kulipa kodi, pia amewaonya watumishi wa Serikali wenye tabia ya kutumia majina ya viongozi kama njia ya kutekeleza majukumu yao  kuacha tabia hiyo badala yake watoe elimu ya tozo, Kodi  wanazo kusanya kwa  kwa wafanyabiashara,"msiwachonganishe viongozi na wananchi"amesisitiza  Muro.

Mkutano huo uliofanyika kwenye ukumbi wa Hamashauri ya Meru umewakutanisha wafanya biashara wa makundi mbalimbali wakiwemo wamiliki wa viwanda,wamiliki wa maduka,wamiliki wa vituo vya mafuta,wamiliki wa mashamba makubwa,wamiliki wa Hoteli ,wamiliki wa makampuni ya utalii ,wamiliki wa makampuni mbalimbali wamiliki wa vituo /zahanati .


Mkuu wa Wilaya ya Arumeru,Jerry Muro akizungumza na wafanya biashara.

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru,Jerry Muro akizungumza na wafanya biashara.

Meneja wa TRA Arumeru akitoa ufafanuzi juu ya ulipaji kodi wakati wa kikao cha Mhe Mkuu wa Wilaya na wafanya biashara.

Baadhi ya Wafanya biashara wakifuatilia mkutano .

Baadhi ya Wafanya biashara wakifuatilia mkutano .



Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa