• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WAJASILIAMALI WADOGO HALMASHAURI YA WILAYA YA MERU WANUFAIKA NA VITAMBULISHO VYA RAIS MAGUFULI

Imewekwa: May 14th, 2019

Wajasiriamali wadogo  Halmashauri  ya Wilaya ya Meru, Wilayani Arumeru wamshukuru Rais wa Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt.John P. Magufuli kwa kutoa vitambulisho maalum kwa ajili yao.

Wakizungumza na mwandishi wetu Wajasiliamali hao wamesema, Vitambulisho hivyo vimekuwa msaada mkubwa kwao katika kufanya biashara zao.

Kwa upande wa Thadeo  fundi  viatu kutoka Kata Usa - River  amemshukuru  Rais Magufuli kwa kutoa vitambulisho hivyo vinavyowarahisishia kufanya biashra zao bila   kupata usumbufu wowote "tunajivunia kufanya biashara tukiwa tunatambulika ni heshima na tupo salama kufanya biashara sehemu yoyote "amesema Thadeo.

Aidha Thadeo ametoa wito kwa Wajasiliamali wadogo wanaokwepa kuchukua vitambulisho hivyo kuacha tabia hiyo  ili waweze kufanya  biashara bila usumbufu.

Naye Vumilia shoo muuza matunda maeneo ya Leganga amesema vitambulisho hivyo vimekua fursa tosha kwa  wanawake kujikwamua kiuchumi kwa kufanya biashara bila usumbufu wowote .

Vumilia amesema  kwa sasa wanapata faida kubwa tofauti na awali ambapo  walikuwa wakifukuzwa  wanapopanga bidhaa zao maeneo mbalimbali  hivyo kupoteza muda  mwingi kujificha badala ya kufanya biashara.

Sambamba na hilo wajasiriamali hao wameiomba Halmashauri kupitia Idara husika kuendelea kutoa elimu ya Biashara  kwa wajasiriamali wadogo ili waweze kukuza mitaji yao.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya  Meru Ndg. Emmanuel Mkongo amewaasa  watendaji wa Kata na Vijiji kutotumia fedha za Vitambulisho vya wajasilimali wadogo kwenye matumizi yoyote bali kuwasilisha fedha hizo ofisi husika.

Pia Mkongo amesema Halmashauri ya Wilaya ya Meru  imerahisisha zoezi la utoaji Vitambulisho vya wajasiliamali wadogo kwa kuwapelekea maeneo yao ya biashara.
Ikumbukwe kuwa, Tarehe10 Disemba 2018, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mhe.Dkt John Pombe Magufuli alitoa vitambulisho maalum kwa ajili ya Wajasiliamali  wadogo na kuelekeza  kuchangia gharama za utengenezaji wa vitambulisho hivyo kiasi cha tsh 20,000 tu ambapo watafanya biashara zao kwa uhuru kwa mwaka mzima.














Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa