• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WAKULIMA WAKUMBUSHWA KUZINGATIA KIPIMO

Imewekwa: November 13th, 2021

Wakulima wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru wakumbushwa kuuza mazao yao bila kuzidisha  kipimo kinachotakiwa  ili uuzaji huo  kuwa na tija na  manufaa zaidi .

Akizungumza na mwandishi wetu ,Afisa kilimo Digna Masawe amesema Serikali ilishapiga marufuku  uuzaji wa mazao kwa kiasi kilichozidi maarufu kama rumbesa ili Kilimo kuwa na tija kwa mkulima .

Digna amehimiza ni muhimu kwa wakulima  kuwa mstari wa mbele kupinga rumbesa kwa kuungana na kuuza mazao kwa kipimo kinachotakiwa sambamba na kutoa taarifa za wanaoendeleza uuzaji wa rumbesa, "Serikali imeshazuia uuzaji wa mazao kwa rumbesa. Ni wajibu wa mkulima na mnunuzi   kufuata maelekezo hayo "amesisitiza Digna

Pia, Digna amesema katika Halmashauri ya Meru kuna vikundi na umoja wa Wakulima ambapo ametoa wito kwa Wakulima kujiunga kwenye umoja wa Wakulima unaojihusisha na uuzaji wa mazao ya Wakulima (Amcos) ili  waweze kuuza mazao yao kwa kilo ambapo amesema umoja wa Wakulima katika Kata ya Mbuguni Muvikiho umeweza kudhibiti Rumbesa kwani kwa sasa Wakulima wa umoja huo wanauza mazao yao kwa kilo.

Digna amesema Mkulima ana nafasi Kubwa kudhibiti Rumbesa ambapo amesema  Ngarenanyuki ni miongoni mwa Kata zenye vikundi vya Wakulima ambao wanapaswa kuwa wamoja kupinga uuzaji kwa kipimo kilichozidi  (Rumbesa), " Juma lililopita wataalam wa kilimo tulikuwa katika Kata ya Ngarenanyuki kutoa elimu juu ya maswala ya kilimo ikiwemo  kipimo Cha uuzaji  mazao ambapo tuliwakumbusha Wananchi kuepuka uuzaji wa mazao kwa kipimo kilichozidi ,hivyo nitoe Wito kwa Wananchi wa Ngarenanyuki kujiunga na Amcos ya Uwano  Moja" amesema Digna

Ikumbukwe baada ya Serikali kupiga marufuku uuzaji wa Rumbesa  Halmashauri ya Wilaya ya Meru ilishatoa elimu ya udhibiti wa ufungaji mazao kwa kipimo kilichozidi  pamoja na kuwaelekeza Viongozi wa ngazi za Kata na Vijiji kudhibiti Rumbesa kwenye maeneo yao.

Pia. Halmashauri Kupitia mawakala inakusanya tozo za mazao kwa kuzingatia maelekezo ya Serikali kuhusiana na kipimo.

Aidha,Halmashauri inatoa wito kwa Wakulima na Wananchi kwa ujumla  kutoa taarifa kwa Wataalamu wa kilimo Ngazi za Kata, Uongozi wa Kata, Vijiji na Wilaya juu ya wanunuzi  wa mazao na wakulima ambao bado wanaendeleza uuzaji wa mazao kwa kipimo kilichozidi maarufu  kama  rumbesa inayolenga kumkandamiza mkulima

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa