• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WANACHI WA HALMASHAURI YA MERU WAJITOKEZA KWA WINGI KUPIMA VVU KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI TAREHE MOSI DISEMBA 2017

Imewekwa: December 2nd, 2017

Wananchi katika Halmashauri ya Meru wajitokeza kwa Wingi kuadhimisha siku ya Ukimwi Duniani ambayo kwa Halmashauri ya hiyo iliadhimishwa kwa kutoa huduma kwa wananchi bila malipo  za upimaji virusi vya UKIMWI (VVU) ,Uchunguzi wa kifua kikuu na huduma ya Afya ya Uzazi wa mpango ,huduma hizi zilitolewa kwenye maeneo ya Kikatiti,Usa-River na Tengeru.

Maadhimisho hayo kwa Halmashauri hiyo kupitia Idara yake ya Afya yalianza kuanzia Tarehe 24 Novemba 2017  hadi Tarehe Mosi Disemba kwa kupima VVU ili kuwatambua wenye maambukizi na kuwaunganisha kwenye huduma za matibabu ambapo  jumla ya watu 1004 ,wanaume wakiwa 363 na Wanawake 641 walipima Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI (VVU)

Aidha Tarehe Mosi Disemba kila mwaka ni killele cha Maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani hili ni kutokana na mnamo 1981 tarehe Moja Disemba ndiyo siku ambayo Kirusi cha UKIMWI kilitambulika rasmi Duniani.kwa mwaka huu katika siku hii ya maadhimisho ya UKIMWI Duniani kwa Halmashauri ya Meru Jumla ya watu 475 walipima VVU

Akizungumza wakati Maadhimisho hayo Daktari.Wicklif S. Sango  ambaye ni mratibu wa UKIMWI wilaya ameeleza umuhimu wa kupima Afya  unamwezesha mtu anapojikuta hana maambukizi anafanya maamuzi ya kujiweka salama na kwa atakaye jikuta tayari anamaambukizi itamwezesha kuanza  matibabu mapema na kuishi maisha ya Afya yatakayo mwepusha na magonjwa nyemelezi.

Upimaji huu ulifanyika kwa watu wazima pamoja na watoto wenye Umri kuanzia mwaka mmoja.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa