Bofya hapa kuona orodha ya Wanafunzi waliopangwa kwa awamu ya pili Shule ya Sekondari Muungano
Wanafunzi 51 wapangwa kwa awamu ya pili katika shule ya sekondari ya Muungano baada ya vyumba 2 vya madarasa kukamilika.
Aidha, Jumla ya Wanafunzi 301 walifaulu na kuchaguliwa kujiunga na Shule ya Sekondari Muungano , kwa mchanganuo wa Wav 165, Was 136, kutokana na ukosefu wa vyumba 2 vya madarasa wanafunzi 250 pekee Waliopangwa awamu ya kwanza huku 51 wakisubiri kukamilika kwa vyumba vya madarasa.
Halmashauri ya Wilaya ya Meru
Anwani: P.o. Box 462 Usa River
Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482
Simu ya mkononi:
Barua pepe: ded@merudc.go.tz
Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa