• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WANANCHI MANYATA WAPONGEZA UTENDAJI WA MKUU WA WILAYA YA ARUMERU.

Imewekwa: September 24th, 2018

Wananchi wa Manyata Wilayani Arumeru wapongeza utendaji wa Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. Jerry Muro ambao unalenga kutatua kero za wananchi na kuwaletea Maendeleo.

Hayo yameelezwa na wananchi hao wakati wa uzinduzi Mradi wa TASAF wenye thamani ya Tsh.64,919,458.01 wa kukarabati  barabara ya Manyata - Nganana urefu wa Km 5.7, ambapo mkuu huyo wa Wilaya alikuwa mgeni rasmi.

Aidha baada ya uzinduzi wa mradi huo ambao kwa mujibu wa utekelezaji wa TASAF unatambua Manyata kama kijiji katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru chenye vitongoji viwili Manyata kati na Nganana Mkuu wa Wilaya  ya Arumeru alitoa fursa kwa wananchi hao kutoa kero zao ambazo zilitatuliwa papo kwa papo na nyingine kuchukuliwa kufanyiwa kazi na wananchi watapewa mrejesho mapema.

Mmoja wa wanakijiji wa Manyata mama vumilia ambaye ni mlengwa wa TASAF amempongeza Mkuu wa wilaya kwa kutatua kero zilizokua zinawakabili pamoja na hatua alizochukua za kumaliza kero kubwa ya Maji ampapo  wakilishi 10 wa wananchi watahudhuria kikao cha utatuzi  wa kero hiyo kitakachofanyika ndani ya siku 7,  "Mkuu wa Wilaya tumefurahi sana kwa ujio wako katika kijiji chetu kwani wananchi wa Manyata kwa muda mrefu hatujawahi pata fursa ya kutembelewa na  Mkuu wa Wilaya kwaajili ya kusikiliza shida tulizonazo  hivyo tunamshukuru Mhe.Rais kukuleta katika wilaya hii " ameeleza vumilia .

Wananchi hao wa Manyata wamemzawadia Mhe.Jerry Muro mbuzi na kumvisha vazi la heshima .

Aidha Mkuu huyo wa Wilaya ya Arumeru amekuwa mbunifu kwa kutumia mbinu mbalimbali  kwenye utatuzi wa kero za wananchi katika Wilaya hiyo ambapo hivi karibuni aliendesha zoezi la kusikiliza kero za wananchi  lilipewa jina la PAPO KWA PAPO likiwa na maana ya kusikiliza kero za wananchi na kuzitolea maamuzi ya haraka kwa mijibu wa sheria.

Serikali kupitia mfuko wa TASAF imeidhinisha kiasi cha Tsh.64,919,458.01 kwaajili ya ukarabati wa barabara ya Manyata - Nganana km 5.7.

Ikumbukwe Kwa sasa Manyata ni miongoni mwa vitongoji vinavyounda Mamlaka ya Mji  mdogo Usa - River


Afisa mwendeshaji wa Mamlaka ya Mji mdogo Usa - River Monica Kimario akikabidhi zawadi  iliyotolewa na Wananchi wa kijiji cha Manyata ya mbuzi mme kwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Moro.

Mkutano wa wananchi wa Kijiji cha Manyata wakati wa uzinduzi wa mradi wa kukarabati barabara ya Manyata - Nganana.

Wananchi wa kijiji cha Manyata wakati wa uzinduzi wa Mradi wa ukarabati wa barabara ya Manyata -Nganana.

Wananchi wa kijiji cha Manyata wakati wa uzinduzi wa Mradi wa ukarabati wa barabara ya Manyata -Nganana.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa