• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WANANCHI MERU WANUFAIKA NA UBORESHAJI WA KITUO CHA AFYA USA - RIVER

Imewekwa: April 3rd, 2019

Wananchi wa Halmashauri ya Meru ,Wilayani Arumeru waipongeza Serikali ya Awamu ya tano kwa uboreshaji wa huduma za Afya Wilayani humo.

Wakizungumza na mwandishi wetu, wananchi hao wameishukuru Serikali kwa kutenga Milioni 500 za ujenzi wa jengo la upasuaji, Wodi ya Mama na mtoto, Maabara, Nyumba ya Mtumishi, Jengo la kuhifadhia Maiti na Kichomea Taka  na kukarabati miundombinu iliyokuwepo katika kituo cha Afya Usa - River. "sisi kinamama tumenufaika sana, tunajifungulia sehemu nzuri na karibu"ameeleza Neema Shao mkazi wa Usa River.

Eliuwoo Mbise ambaye ni mama wa mtoto mgonjwa , ameishukuru Serikali kwa uboreshaji wa kituo cha Afya Usa - River kwani awali walitumia gharama kubwa ya usafiri kufuata matibabu katika Hospitali ya Wilaya, pia   walitumia muda mwingi wanapofika Hospitali ya Wilaya kutokana na msongamano.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo ,Ndg. Emmanuel Mkongo ametoa wito kwa watumishi wa Afya kutekeleza majukumu yao kwa weledi ili kutoa huduma zenye tija    " hakikisheni lengo la Serikali la Wananchi kupata huduma za afya zenye ubora unaostahiki karibu na maeneo wanayoishi linatimia” amesisitiza Mkongo

Aidha Kituo cha Afya Usa – River ni miongoni mwa vituo vya Afya 352 vitakavyo zinduliwa  na Mhe.Rais  kesho katika Halmashauri ya Mji wa Masasi Mkoani Mtwara ambapo Kituo cha afya cha Mbonde kitazinduliwa  kwa niaba ya vituo vyote 352 Nchini.


Eliuwoo Mbise (wa kwaza Dirishani) ambaye ni mama wa mtoto mgonjwa akipata huduma alipowasili kituo cha Afya Usa River.

Neema Shao akielezea kwa furaha kinamama walivyonufaika na Uboreshaji wa Kituo cha Afya Usa - River.

Muonekano wa Mbele wa kituo cha Afya Usa - River.

Jengo la upasuaji  Kituo cha Afya Usa - River.

 wodi ya Mama na Mtoto Kituo cha Afya Usa - River.

Jengo la Maabara katika  cha Afya Usa - River.

nyumba ya mtumishi Kituo cha Afya Usa - River.

Chumba cha kuifadhia maiti  Kituo cha Afya Usa - River.

  

Kichomea taka

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa