• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WANANCHI MERU WATAKIWA KUFUATA TARATIBU ZA UENDELEZAJI WA MAENEO

Imewekwa: May 24th, 2018

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Ndg. Christopher J. Kazeri alipotembelea ubomoaji na uondoaji wa vizuizi vya barabara maeneo ya Leganga Usa-Rivar iliyofungwa na baadhi ya wananchi wanaomiliki maeneo karibu na barabara hiyo kwa kujenga majengo amewaasa wananchi wa Halmashauri hiyo kufuata taratibu za uendelezaji wa maeneo  ili kuepuka adha zitakazojitokeza ikiwemo adhabu za kisheria .

Mmoja wa wahanga wa ufunguzi huo wa barabara unaoendelea kwa kubomoa majengo ( jina limehifadhiwa) amesema yeye amechukulia ufunguzi wa barabara hiyo kama maendeleo ya Mji.

Naye Judas T. Mahuma ambaye ni Afisa Ardhi Mteule kwenye Halmashauri hiyo amefafanua kuwa kama kuna maendelezo yoyote yanayotakiwa kufanyika kwenye ardhi ya jumla lazima mhusika mwenye eneo kwenye ardhi hiyo ya jumla apate kibali cha kufanya muendelezo huo kutoka kwenye Halmashauri, hii ni kwa mujibu wa kanuni za ujenzi  mijini za mwaka 1991 .

Aidha Mahuma amesema faida za kufuata utaratibu wa uendelezaji  wa ardhi ni pamoja na uwepo wa makazi yaliyopangiliwa yatakayo rahisisha utoaji wa huduma za kijamii akitoa mfano wa huduma za barabara zinazo muezesha kila mtu kupita bila kikwazo pamoja na huduma nyingine kama shule na Hospitali kuwa kwenye mpangilio maalumu ambao hautokuwa na usumbufu kwa wakazi wengine,pia kuimarika kwa ulinzi na usalama wa raia na mali zao mfano pale linapotokea janga la moto uokoaji wa watu na mali utakuwa rahisi kwa maeneo yaliyopangiliwa.

Mhandisi wa majengo kwenye Halmashauri hiyo amesema taratibu za kupata kibali cha ujenzi mwananchi anatakiwa kufika ofisi ya ujenzi kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Meru akiwa na nyaraka za umiliki/mhutasari wa kijiji unaohusu umiliki wa eneo pamoja na ramani ya ujenzi anaotarajia kuufanya ambapo atajaza fomu ya maombi ya kibali cha ujenzi na kusubiri taratibu za ukaguzi kukamilika ili apewe kibali.

PICHA ZA TUKIO.


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa