• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WANANCHI WA KIJII CHA MARORONI WAPOKEA KWA SHANGWE MRADI MPYA WA USAMBAZAJI MAJI KIJIJINI HAPO

Imewekwa: November 13th, 2017

Wananchi wa kijiji cha Maroroni kilichopo Kata ya Maroroni Halmashauri ya Meru wamepokea na kuridhia  Mradi mpya  wa usambazaji Maji kijijini hapo kwa furaha kubwa,haya yamejiri kwenye mkutano wa wanakijiji hao  uliohudhuriwa na wataalamu toka Halmashauri ya Meru na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Arumeru kwa lengo la kutambulisha Mradi mpya wa usambazaji Maji kijijini hapo utakao wezesha upatikanaji wa Maji kua umbali wa Mita 400 tu .

Akitoa elimu ya Miradi ya Maji Happyness Mrisho ambaye ni Mhandisi wa Maji wa Halmashauri hiyo ameeleza Sera ya Maji ya mwaka 2002 inaelekeza Jamii kushiriki katika kuibua, kupanga na kutekeleza Miradi ya Maji jambo ambalo ofisi yake inalizingatia na kuwasihii wananchi kua huru kutoa maoni yao juu ya Mradi huo ili uwe wa manufaa kwao .

Wananchi walipokea mradi huo na kushauri mambo mbalimbali yazingatiwe, mwanakijiji aliyetambulishwa kwa jina la Isaya alishauri Jeografia ya kijiji hicho ipitiwe ili watu wote waweze kupata maji jambo lililopelekea Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Christopher Kazeri kumwagiza Mhandisi huyo kuhakikisha anawashirikisha wananchi kila hatua ya mradi huo pamoja na kuwapa mrejesho kwa kila hatua.Naye katibu Tawala wa Wilaya ya Arumeru Timotheo Mzava amepokea Malalamiko ya baadhi ya wananchi juu ya upatikanaji maji katika kijiji jirani cha Samaria kwa kueleza kua wananchi wa Samaria ni wa Arumeru  na wanahitaji maji pia hivyo wanalichukua hilo na kulifanyia kazi.

Aidha Wanakijiji wa Kijiji cha Maroroni wanapata Maji kupitia Mradi wa maji wa KIMASIKI unaohudumia vijiji vipatavyo ambavyo ni Kikatiti,Maroroni,Samaria na Kitefu jambo Linalosababisha wananchi hawa kupata maji kidogo kwenye umbali mrefu .












Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa