• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WANANCHI WA KIJIJI CHA MIKUNGANI WAONDOKANA NA CHANGAMOTO YA MAJI

Imewekwa: September 22nd, 2022

Wananchi wa  Kijiji cha Mikungani Kata ya Mbuguni  waondokana na changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama  baada ya Shirika lisilo la kiserikali la WAMATA  kuchimba kisima cha maji  kilichogharimu Milioni 79.98 chenye urefu wa  mita 130 kinachotumia nishati ya umeme wa jua.

Akizungumza katika makabidhiano ya Mradi huu ,Diwani wa Kata ya Mbuguni Mhe.Laurence Ngolly ametoa wito kwa wananchi kutunza mradi huo ili kuwa na manufaa kwa jamii ya sasa na badae ambapo ameweka bayana Uongozi wa Kata hiyo kutomvumilia yeyote atakayejaribu kwa namna yeyote kuhujumu mradi huo " nitoe wito kwa kila mwananchi kuwa mlinzi wa mradi huu wenye manufaakwetu sote"amehimiza Mhe.Ngolly

Mkurugenzi  shirika hilo la WAMATA Bw. John Tarimo  amesema wakati wa utafiti ilionekana Kijiji cha Mikungani kinachangamoto kubwa ya upatikanaji wa maji safi na salama hivyo kutokana na Sera  na ushirikiano uliopo kati ya Serikali na wadau wameweza kuchimba kisima ambacho kitahudumia zaanati ,shule na wananchi ambao wamewekewa vilula 2 vya maji(DP).

Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Meru ambaye pia ni mkuu wa Idara ya Mazingira na  Udhibiti taka B. Charles  Mboya ametoa wito kwa jamii kutunza vyanzo vya maji sambamba na kupanda miti ili kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi.

Wakizungumza kwa Nyakati tofauti wananchi hao wameshukuru kupata mradi huo kwani  upatiksnaji wa maji ulikuwa changamoto kubwa "tulikuwa tunanunua maji lita 20 Shilingi elfu moja na kutokana na kipato cha wengi wetu kuwa chini tulikua tukifuata maji kwenye visima vya mashambani"amesema Perpetua Mafie Mkazi wa Kijiji cha Migungani

Aidha, Halmashauri ya Wilaya ya Meru inawakaribisha na  itaendelea kushirikia na wadau mbalimbali kuwaletea wananchi maendeleo .




Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa