• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WANAWAKE MERU WATAKIWA KUSHIRIKIANA

Imewekwa: March 8th, 2021

Wanawake wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru watakiwa kushirikiana ili kunyanyuana kiuchumi na kuharakisha maendeleo.      

Wito huo umetolewa na Julieth Maturo mwenyekiti wa umoja wa wanawake wa chama cha mapinduzi (UWT) Wilaya ya kichama ya Meru wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani.    

Julieth amesema ni wakati wa wanawake kuinuana na kushirikiana kikamilifu kufuta dhana potovu ya adui wa mwanamke ni mwanamke "wanawake tushikane mikono tuinuane,tupendane kwa maendeleo yetu na taifa"amesisitiza Maturo.     

 Aidha, Maturo amempongeza Mhe.Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwa kuwathamini na kuwapa nafasi wanawake kwani wameweza kujiamini na kufanya vizuri zaidi "tunajivunia  katika Nchi yetu Wanawake wamepewa nafasi  za juu na kufanya vizuri, Mhe. Makamu wa Rais ni mwanamke,tuna Mawazari wanawake, Wakuu wa Wilaya na hata Wakuu wa Idara wa Halmashauri yetu na wote hao wamekua wakifanya vizuri."amesema julieth    

Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Halmashauri ya Wilaya ya Meru Bi.Furahisha Magubila amesema wameungana na wanawake duniani kuadhimisha siku hiyo muhimu kwa kufanya maandamano ya amani, kutoa msaada katika kituo cha wazee kilichopo kikatiti. Pamoja na kuelimishana juu ya ujasiriamali,lishe ,huduma za kibenki na maswala ya unyanyasaji wa kijinsia. 

Kwa upande meneja wa kituo cha kulelea wazee Ruthu kaaya amewashukuru wanawake kwa kuwajali wazee . 

Naye Meneja wa kituo hicho Moses Mafie amesema kituo hicho kinacho wahudumia wazee 300 wasiojiweza kilianzishwa kikilenga kuwasaidia wazee wasio na makazi

Bi. Julieth Maturo akikabidhi msaada kwa Wazee. 

wazee wakishukutu na kuomba wadau wengine kujitokeza kuendelea kuwasaidia mahitaji  muhimu. 


Meneja wa kituo cha wazee Ndg.  Mafie

Ummoja wa wanawake Halmashauri ya Wilaya ya meru wakiwa makazi ya wazee. 

Kamati tendaji  ya umoja wa wanawake Halmashauri ya Wilaya ya Meru wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani 2021.








Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa