• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WASIMAMIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA MERU WATAKIWA KUTEKELEZA MAJUKUMU YAO KWA UFANISI.

Imewekwa: August 10th, 2018


Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya  Meru, Christopher Kazeri wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo wasimamizi wa vituo vya Kupiga Kura na wasaidizi wao, wa  Uchaguzi mdogo wa nafasi ya diwani Kata ya Songoro utakaofanyika tarehe 12 Agosti, 2018, kusimamia vituo hivyo Kwa umakini ili wapiga kura wapige kura Kwa uhuru.

Akiongea wakati wa mafunzo elekezi Kwa wasimamizi hao yaliyo fanyika katika ukumbi wa Halmashauri hiyo Leo tarehe 9 Agosti, 2018, Mkurugenzi Kazeri amefafanua kuwa ni muhimu kwa wasimamizi hao kuwa makini wakati wa mafunzo ili kupata uelewa wakutosha wa kusimamia zoezi la upigaji kura kwenye uchaguzi mdogo huo."Fuatilieni mafunzo haya Kwa umakini na hata msipoelewa vizuri kanuni na Sheria za kusimamia vituo ulizeni maswali tunataka uchaguzi uwe wa huru na haki kama Tume ya uchaguzi "amesisitiza Kazeri.

Katika hatua nyingine Mkurugenzi huyo amewataka wananchi wa kata ya Songoro wenye sifa ya kupiga Kura kujitokeza kupiga kura na Kumchagua mwakilishi wao ambae atawaletea maelendeleo katika Kata yao ya Songoro.

Uchaguzi mdogo wa diwani kata ya Songoro unafanyika baada ya Tume ya Taifa ya uchaguzi kutangaza uchaguzi huo Kwa mujibu wa Sheria ya uchaguzi ya hapa nchini.

Ikumbukwe kuwa Kata ya Songoro ni miongoni mwa Kata 26 za Jimbo la uchaguzi la Arumeru Mashariki.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya  Meru, Christopher Kazeri wakati akifungua mafunzo ya kuwajengea uwezo wasimamizi wa vituo vya Kupiga Kura na wasaidizi wao

Baadhi ya wasimamizi wa vituo vya Kupiga Kura na wasaidizi wao

Baadhi ya wasimamizi wa vituo vya Kupiga Kura na wasaidizi wao

Baadhi ya wasimamizi wa vituo vya Kupiga Kura na wasaidizi wao



Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa