• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MAELEKEZO YA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI HALMASHAURI WILAYA YA MERU KWA WASAIDIZI WAANDIKISHAJI WA ORODHA YA MPIGA KURA .

Imewekwa: October 4th, 2019

Msimamizi wa uchaguzi Halmashauri ya Wilaya ya Meru, Jonathan Kiama amewataka wandikishaji  wa  orodha ya wapiga kura kuzingatia mafunzo ya kuwajengea uwezo jinsi kuandikisha na kuandaa  orodha ya wapiga kura wa uchaguzi wa Serikali za mitaa  yanayo endelea  ili waweze kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia kanuni na taratibu za uchaguzi huo.

Akifungua mafunzo hayo,kiama amewataka waandikishaji hao kusikiliza mafunzo  kwa umakini na kuuliza maswali ili kupata kupata uelewa wa kina kwani uandikishaji wa orodha ya mpiga kura unaumuhimu mkubwa katika uchaguzi  wa serikali za mitaa kwani ni zoezi pekee  linalompa haki mwananchi ya kumpigia kura kiongozi atakaye leta maendeleo.

Kiama amesisitiza baada ya mafunzo haya ni muhimu kwa  wanachi wenye sifa kujiandikisha  kupiga kura katika zoezi la uandikishaji orodha ya mpiga kura litakalofanyika tarehe 08 hadi 14 Octoba 2019 , kwani mwananchi ambae hatajiandikisha hatoweza kupiga kura wakati wa uchaguzi tarehe 24 Novemba 2019, kuwachagua viongozi wa Serikali za mitaa ambao ni Mwenyekiti wa Kijiji, Mwenyekiti wa Kitongoji,Wajumbe wa Serikali za vijiji kundi mchanganyiko,Wajumbe wa Serikali zavijiji  kundi maalumu.

Naye afisa uchaguzi kwenye Halmashauri hiyo Ndg.Edward Chitete ametoa wito kwa wandikishaji hao wa orodha ya mpiga kura pindi kutimiza wajibu wao kwa  uadilifu mkubwa na kuwahudumia wananchi kwa kutumia  lugha zenye staa.

Semina hiyo ya siku mbili  kwa kwa waandikishaji wa orodha ya mpiga kura  inaendelea katika ukumbi wa chuo cha ualimu  patandi ambapo waandikishaji wa orodha ya mpiga kura wamekula kiapo cha uaminifu na kiapo cha utii na uadilifu.

Msimamizi wa uchaguzi Halmashauri ya Wilaya ya Meru Jonathan Kiama.

Baadhi ya Wandikishaji  wa  orodha ya wapiga kura wakati wa mafunzo.

Baadhi ya Wandikishaji  wa  orodha ya wapiga kura wakati wa mafunzo.

Afisa Uchaguzi Halmashauri ya Wilaya ya Meru Edward Chitete.

Baadhi ya Wandikishaji  wa  orodha ya wapiga kura wakati wa mafunzo.

Baadhi ya Wandikishaji  wa  orodha ya wapiga kura wakati wa mafunzo.

Miongoni mwa wasaidizi wasaidizi ngazi ya Halmashauri Bi.Grace Mbilinyi wakati wa Semina .


Baadhi ya Wandikishaji  wa  orodha ya wapiga kura wakati wa mafunzo.


Baadhi ya Wandikishaji  wa  orodha ya wapiga kura wakati wa mafunzo.


Miongoni mwa wasaidizi wasaidizi ngazi ya Halmashauri  Ndg.Juma wakati wa Semina .

Baadhi ya Wandikishaji  wa  orodha ya wapiga kura wakati wa mafunzo.

Waandikishaji wa orodha ya mpiga kura wakati wa kiapo cha uaminifu na kiapo cha utii na uadilifu.


Waandikishaji wa orodha ya mpiga kura wakati wa kiapo cha uaminifu na kiapo cha utii na uadilifu.

Waandikishaji wa orodha ya mpiga kura wakati wa kiapo cha uaminifu na kiapo cha utii na uadilifu.

Wasimamizi wasaidizi ngazi ya Kata.

Wasimamizi wasaidizi ngazi ya Kata.

Wasimamizi wasaidizi ngazi ya Kata.

Wasimamizi wasaidizi ngazi ya Kata.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa