• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WATENDAJI WA KATA WASAINI MKATABA WA USIMAMIZI WA AFUA ZA LISHE.

Imewekwa: August 26th, 2019

Watendaji wa Kata Halmashauri ya Meru, Wilayani Arumeru wameingia mkataba wa upangaji,ufuatiliaji na utekelezaji  wa afua za lishe ili kufanikisha swala la kuboresha  hali ya lishe na kupunguza athari za utapiamlo katika jamii ikiwemo udumavu.

Mkataba huo walio saini baina yao na Mwa jiri (Mkurugenzi ) unatoa wajibu kwa Kata kuhakikisha Lishe ni Ajenda ya kudumu pia  utachochezi  na kuibua fursa za lishe  kwa kutatua matatizo  ya lishe .

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo , Ngd.Emmanue Mkongo amewataka Waten daji hao kutekeleza wajibu wao kwa mujibu wa mkataba huo kwani Serikali imeandaa Mikataba hiyo, kuanzia ngazi za Mikoa hadi kwenye jamii kufanikisha  suala la kuboresh a hali ya lishe na kupunguza athari za utapiamlo katika Kata na Vijiji.

Afisa Lishe wa Halmashauri hiyo Bi.Asia Ijumaa amesema  hali ya utapiamlo bado ni changamoto hapa Nchini ambapo imefikia asilimia 34%  hivyo  jamii inapaswa kuzingatia Lishe.                          

Aidha Bi.Asia amesema utapiamlo unasababishwa  na ulishaji duni,magonjwa ya mara kwa mara na huduma  hafifu ya malezi na makuzi ya awali ya watoto wadogo , hivyo ametoa rai kwa jamii kuwasaidia kinamama kunyonyesha maziwa yao pekee miezi sita ya mwanzo pia kuendelea kunyonyesha hadi miaka miwili.

Asia amesema jamii inapaswa kulipa kipaumbele swala la lishe kwani utapiamlo husababisha vifo,kuchelewa kukua kwa vijngo na akili ya mtoto .                                    

Maafisa Watendaji hao wamesema watahakikisha wanaifanyia kazi rasimu ya mkataba hiyo na kuisimamia lwenye vijiji vilivyopo kwenye kata zao"tutafanya Kikao cha Kata ambapo wenyeviti wa Vijiji na Watendaji wa Vijiji watahudhuria ili kuelimishana juu ya lishe na kuweka mipango ya kuhakikisha jamii inazingatia swala la lishe" ameeleza Christina Kessy Mtendaji wa Kata ya Shambarai Burka.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Meru Ndg.Emmanue Mkongo.

Mkurugenzi  Mkongo na Afisa Lishe, Asia Ijumaa.

Mkuu wa Idaraya Utawala  na Rasilimali Watu,Grace Mbilinyi,ambaye Watendaji wapo kwenye idara hiyo.

watendaji wa Kata wakati wa Kikao cha kutia Saini Mkataba.

watendaji wa Kata wakati wa Kikao cha kutia Saini Mkataba.

watendaji wa Kata wakati wa Kikao cha kutia Saini Mkataba.

watendaji wa Kata wakati wa Kikao cha kutia Saini Mkataba.

watendaji wa Kata wakati wa Kikao cha kutia Saini Mkataba.

watendaji wa Kata wakati wa Kikao cha kutia Saini Mkataba.

watendaji wa Kata wakati wa Kikao cha kutia Saini Mkataba.

watendaji wa Kata wakati wa Kikao cha kutia Saini Mkataba.

watendaji wa Kata wakati wa Kikao cha kutia Saini Mkataba.


watendaji wa Kata wakati wa Kikao cha kutia Saini Mkataba.


Mtendaji wa Kata ya Shambarai Burka   Bi.Christina Kessy .

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa