• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WATENDAJI WA KATA WATAKIWA KUIWAKILISHA VYEMA SERIKALI ,KUSHIRIKIANA NA MADIWANI,KUTOA TAARIFA ZA SHUGHULI ZINAZOTEKELEZA KATIKA KATA

Imewekwa: September 6th, 2022

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mwl.Zainabu Makwinya amewata Watendaji wa Kata wa Halmashauri hiyo kutekeleza majukumu yao  ipasavyo ili kuiwakilisha vyema Serikali ikiwa ni pamoja na  kushirikina  na Waheshimiwa Madiwani katika kuwaletea  wananchi maendeleo pamoja na kuwasilisha kwa wakati taarifa za  shughuli zote zinazotekelezwa kwenye Kata  ikiwemo miradi ya wafadhili.

Akizungumza wakati wa Mkutano wa baraza la Madiwa Mwl.Makwinya amesema ni muhimu  kwa watendaji hao kuwasilisha taarifa za miradi ya wafadhili  kabla ya kuanza  kutekelezwa  ili kuleta tija na ufanisi zaidi pamoja na kuwashirikisha Madiwani ambao ndio wenyeviti wa Kamati ya Maendeleo ya Kata, shughuli zote za maendeleo zinazotekelezwa ndani ya Kata.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mhe.Jeremia Kishili ametoa wito kwa  Madiwani kufuatilia shughuli mbalimbali zinazotekelezwa ndani ya Kata  ili kutimiza  azma ya Serikali  ya awamu ya sita ya  kuwaletea wananchi maendeleo" tunamshukuru Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha  nyingi katika sekta ya afya,elimu ,maji ,barabara  hakika Meru tumenufaika "amesema Mhe.Kishili

Mhe. Dauson Urio Diwani wa Kata ya Uwiro amesema Kata nyingi zinafanya vizuri kutokana na ushirikiano uliopo kati ya Diwani na Mtendaji wa Kata ambapo amesema endapo ushirikiano usipokuwepo unaathiri uhamasishaji wa wananchi kwenye shughuli za maendeleo

Naye Mhe.Glory Kaaya Diwani viti maalum Kata ya Kata ya Kikwe amesema utoaji wa taarifa wa miradi inayotekelezwa kwenye Kata ni muhimu sana kwani itasaidia Wananchi kuijuia na kishirikikatika utekelezaji wa miradi hiyo .

Aidha ,Baraza hilo la Madiwani limekamilikwa kwa siku ya kwanza mbapo madiwani wamewasilisha taarifa za utekelezaji za Kata zote 26 na utaendelea kwa siku ya pili tarehe 08 Septemba 2022








Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa