• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WATENDAJI WA VIJIJI WATAKIWA KUKUSANYA MAPATO KWENYE MAENEO YAO .

Imewekwa: August 23rd, 2018

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru ,Emmanuel Mkongo amewataka watendaji wa Kata na Vijiji kuendana na malengo ya Serikali ya awamu ya tano kwa kukusanya mapato ipasavyo yatakayo  waletea wananchi maendeleo.

 Mkurugenzi Mkongo ameeleza  hayo wakati wa  kikao cha Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu, ambapo amewataka watendaji hao  kusimamia suala zima la ukusanyaji  wa mapato ya Serikali katika  maeneo yao pamoja na  kuzingatia Sheria ,Kanuni na taratibu kwenye matumizi ya fedha  na manunuzi.

Mkurugenzi Mkongo amewasisitiza watendaji  hao kusimamia  utekelezaji wa miradi kwenye maeneo yao ,sambamba na kuhamasishwa wananchi kutambua  wajibu wao wa  kushiriki katika utekelezaji  na utunzaji wa miradi hiyo.

Mkurugenzi Mkongo ameongeza kuwa  uwazi na uwajibikaji ni swala muhimu kwenye kutekeleza majukumu , hivyo amewataka watendaji hao kufanya mikutano yote  kwa wakati  na kubandika  taarifa za mapokezi ya fedha na zile za matumizi kwenye mbao za  matangazo, “itisheni mikutano mikuu ya Vijiji muwasomee wananchi  taarifa za mapato na matumizi kwa wakati kuepuka sintofahamu” amesisitiza Mkongo.

Mkurugenzi Mkongo amehitimisha kwa kuwataka watumishi wote wa idara hiyo ya Utawala na rasilimaliwatu  kutekeleza wajibu wao kwa kuzingatia sheria ,kanuni na taratibu.

Naye Abel Kaaya ambae nia Mtendaji wa Kata ya Ambureni akizungumza kwa niaba ya Watumishi wenzake , amempongeza Mkurugenzi Mkongo kwa kuteuliwa kushika nafasi hiyo ya Ukurugenzi na kumwahidi kumpa ushirikiano wa kutosha .

Hayo yamejiri katika Kikao hicho cha kawaida cha kila wa mwezi cha Idara ya Utawala na rasilimali watu katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya mwezi.


PICHA ZA TUKIO.

Mkurugenzi Emmanuel Mkongo akizungumza na Watumishi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu.

Mkuu wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu Grace Mbilinyi  akitoa ufafanuzi wa kikao cha idara yake ambocho hufanyika kila mwezi.

Maafisa Utumishi wakimsikiliza Mkurugenzi wakati wa kikao.

Watumishi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mtendaji.

Watumishi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mtendaji.


Watumishi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mtendaji.

Watumishi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mtendaji.

Watumishi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mtendaji.

Watumishi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mtendaji.

Watumishi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mtendaji.


Watumishi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mtendaji.

Watumishi wa Idara ya Utawala na Rasilimaliwatu wakimsikiliza kwa makini Mkurugenzi Mtendaji.

Mtendaji wa Kata ya Ambureni Abeli Kaaya akizungumza kwa niaba ya watumishi wenzake.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa