• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WATU 393,275 WAANDIKISHWA NIDA ARUMERU

Imewekwa: December 6th, 2023

Na Annamaria Makweba
Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA Wilaya ya Arumeru imefanikiwa kuandikisha wananchi 393,275 sawa na asilimia 98 ya lengo la uandikishaji.
Hayo yameelezwa na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhe. Emmanuela Kaganga akizindua rasmi zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya Taifa (NIDA) kwa wakazi wa Wilaya ya Arumeru.

Mhe. Kaganda amefanya uzinduzi huo katika Viwanja vya Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Meru ambapo wananchi na viongozi mbalimbali wameshiriki katika Uzinduzi huo.Kaganda ameeleza kuwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilitoa maelekezo ya kuhakikisha kila Mtanzania anakuwa na Kitambulisho chenye taarifa sahihi za Uraia halisi wa mtu husika zinazoweza kutumika kumtambilisha mahali popote. 

Aidha, Kaganda ametoa rai kwa jamii kuwa waaminifu wakati zoezi la ugawaji wa vitambulisho unafanyika na kutofanya vitendo vya kuhujumu zoezi hilo. Vilevile ameitaka jamii kuhamasisha Watanzania wote waliofikisha umri wa miaka 18 kufika ofisi za NIDA ili waweze kujiandikisha, kusajiliwa na kupata vitambulisho. Kaimu Afisa Usajili Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa NIDA Arumeru, Soud S. Kibanga ameeleza changamoto kubwa katika zoezi la ugawaji wa vitambulisho ni wananchi kutofika kwa wakati kuchukua vitambulisho vyao na wengine kubadili majina au kutokumbuka taarifa zao. Christina Kenje Mao na wananchi wengine walioshiriki katika zoezi hilo wamepatiwa Vitambulisho vya Taifa vilivyotolewa na Mkuu wa Wilaya hiyo katika uzinduzi uliofanywa tarehe 6.12.2023.




Mheshimiwa Diwani Kata ya Songoro, Kaanael Ayo ametoa shukrani kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuisimamia vyema Ilani ya Chama cha Mapinduzi.











Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa ilianzishwa mwaka 2008 kwa tangazo la Gazeti la Serikali GN No. 122 kama chombo cha kusimamia utoaji wa vitambulisho vya Taifa, na Wilayani Arumeru zoezi lilianza rasmi mwaka 2016 kwa kuanza na watumishi wa Serikali na baadaye wananchi wengine.


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa