• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WATUMISHI MERU WAPATA SOMU LA SARATANI YA SHINGO YA MLANGO WA KIZAZI

Imewekwa: April 25th, 2018

Kaimu mkuu wa wilaya ya Arumeru Mhe.Idd Kimanta amewataka watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru kuhakikisha lengo la Serikali la kutokomeza saratani ya shingo la mlango wa  kizazi kwa kutoa chanjo kwa watoto wenye umri wa kuanzia miaka 9 hadi 14 linakuwa na mafanikio makubwa.

Mhe. Idd Kimanta amesema hayo alipokua akizungumza kwenye kikao cha dharura cha watumishi kutoka idara mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Meru  wakiwemo wakuu wa idara na vitengo,watendaji wa kata na vijiji,waratibu wa elimu wa kata,maafisa maendeleo ya jamii wa vijiji na kata pamoja na watumishi wasio wakuu wa idara na vitengo wa makao makuu ya Halmashauri hiyo ambapo alieleza kuwa Serikali ya awamu ya tano baada ya kuingia madarakani ikiwa na lengo la kuboresha sekta mbalimbali ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora  imeboresha sekta ya Afya kwa kuongeza bajeti yake kutoka bilioni  34 hadi  bilioni 269 .

Mhe.Idd Kimanta mbali na kuzungumzia masuala ya chanjo ya kinga ya saratani ya shingo la kizazi (HPV) amewatakia watumishi hao maadhimisho mema ya miaka 54 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kuwasihi kuadhimisha kwa amani, pia amewakumbusha kutambua kuwa wameajiriwa na serikali ili kuiwakilisha vyema hivyo watumie taaluma zao na kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria ,kanuni na taratibu huku akiwaonya kutojihusisha na siasa ,"kazi za siasa waachie wanasiasa"amesisitiza Mhe. Kimanta.

Mhe Kimaths amehitimisha mazungumzo kwa kuwapongeza watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru kwani kwa muda mfupi ameridhishwa na uchapakazi wao pia amewasihi kushiriki kikamilifu kwa kuhamasisha na kutoa elimuu juu ya janjo ya Kinga ya Saratani ya shingo ya mlango wa kizazi ili Halmashauri hiyo kushika nafasi ya kwanza kwenye utoaji wa Chanjo hiyo.

Nae mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Ndg.Christopher J. Kazeri amesema amepokea ushauri wa Kaimu mkuu wa Wilaya ya Arumeru kama agizo hivyo Halmashauri itaufanyia kazi.

PICHA ZA TUKIO.


Kaimu mkuu wa wilaya ya Arumeru Mhe.Idd Kimanta akizungumza wakati wa kikao cha dharura cha watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Meru.

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Ndg.Christopher J. Kazeri akizungumza wakati wa kikao cha dharura cha watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Meru.

Baadhi ya wakuu wa idara/vitengo wakifuatilia mazungumzo yaliyokua yanaendelea wakati wa wakati wa kikao cha dharura cha watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Meru.

Baadhi ya wakuu wa idara/vitengo wakifuatilia mazungumzo yaliyokua yanaendelea wakati wa wakati wa kikao cha dharura cha watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Meru

Baadhi ya wakuu wa idara/vitengo wakifuatilia mazungumzo yaliyokua yanaendelea wakati wa wakati wa kikao cha dharura cha watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Meru

Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA Halmashauri ya Wilaya ya Meru akifuatilia mazungumzo yaliyokua yanaendelea wakati wa wakati wa kikao cha dharura cha watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Meru

Baadhi ya watumishi kutoka wa idara/vitengo mbalimbali vya Halmashauri ya Wilaya ya Meru wakifuatilia mazungumzo yaliyokua yanaendelea wakati wa wakati wa kikao cha dharura cha watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Meru



Baadhi ya watumishi kutoka wa idara/vitengo mbalimbali vya Halmashauri ya Wilaya ya Meru wakifuatilia mazungumzo yaliyokua yanaendelea wakati wa wakati wa kikao cha dharura cha watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Meru.

Watumishi kutoka wa idara/vitengo mbalimbali vya Halmashauri ya Wilaya ya Meru wakifuatilia mazungumzo yaliyokua yanaendelea wakati wa wakati wa kikao cha dharura cha watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Meru.

Baadhi ya watumishi kutoka wa idara/vitengo mbalimbali vya Halmashauri ya Wilaya ya Meru wakifuatilia mazungumzo yaliyokua yanaendelea wakati wa wakati wa kikao cha dharura cha watumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Meru



Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa