• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MAFUNZO YA MPANGO KUWEZESHA JAMII KUJIWEKEA AKIBA KWA WAWEZAJI WA TASAF NGAZI YA KATA NA WILAYA YAMEKAMILIKA KWA SIKU YA PILI.

Imewekwa: June 25th, 2019

Mafunzo ya mpango kuwezesha jamii kujiwekea akiba kwa wawezaji TASAF ngazi ya wilaya na Kata katika Halmashauri ya Meru yamekamilika kwa siku ya pili ambapo wamejengewa uwezo juu ya dhana ya uwekaji akiba na utunzaji kumbukumbu  katika maswala ya uchukuaji mikopo na uendeshaji wa  biashara.

Mafunzo hayo yanayofanyika kwa siku 5 katika kumbi za Halmashauri hiyo yanalenga kukuza utamaduni wa kujiwekea akiba kwa kaya maskini ili kuziwezesha kukabiliana na dharura na mahitaji ya msingi. Ndg.Hamnza Selemani ambaye ni mwezeshaji ngazi yaTaifa amesisitiza  kuwa akiba ni chachu ya kuleta maendeleo kwenye Kaya hivyo ni muhimu Kaya husika kuwa na nidhamu ya kujitolea na kujiwekea akiba kwa malengo ya badae,.

Aidha katika swala la kutunza kumbukumbu mafunzo kwa vitendo yamefanyika kwa wawezeshaji hao kujaza  daftari la kumbukumbu za wanachama, mahudhurio na fomu za  mikataba ya mikopo .

Mtaalamu wa Mafunzo na Ushirikishwaji kutoka TASAF Makao makuu,Ndg.Mercy Mandawa akizungumza na wawezeshaji wa TASAF ngazi ya Wilaya na Kata katika Halmashauri ya Meru.


Wawezeshaji wa wa TASAF ngazi ya Wilaya na Kata wakifanya mafunzo kwa vitendo katika vikundi.

Ndg.Hosea Mwankusye ambaye ni  Kiongozi wa  timu ya wawezeshaji kitaifa akisistiza jambo wakati wa mafunzo  kwa vitendo kwa wawezeshaji wa TASAF ngazi ya Wilaya na Kata Halmashauri ya Meru.

Wawezeshaji wa TASAF ngazi ya Taifa,Ndg. Hamza Seleman na  Abdallah Dokodoko(kulia) wakifafanua maswala mbalimbali wakati wa mafunzo kwa vitendo. 

Hamza Seleman mwezeshaji ngazi ya Taifa  akitoa mafuzo  kwa wawezeshaji ngazi ya Wilaya na Kata Halmashauri ya Meru..

Mwezeshaji wa wa TASAF ngazi ya  Kata  akiwasilisha kazi ya kundi  baada ya kufanya mafunzo kwa vitendoi.



Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa