• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WAZEE WAPEWA KIPAOMBELE ARUMERU.

Imewekwa: August 30th, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro amewaagiza waganga wakuu kwenye Halmashauri mbili za Wilaya Hiyo kuhakikisha kila kituo cha Afya na Hospital za Wilaya zina dirisha maalumu kwaajili ya kuwahudumia wazee.

Muro ametoa agizo hilo katika uzinduzi wa Jukwaa la Ushirika Wilayani humo na kueeleza kuwa  wazee wanatakiwa kupewa huduma za afya bila kero .

Aidha agizo  la Mhe.Muro  ni sambamba na utengenezaji wa vitambulisho vya wazee watakavyo vitumia kupata huduma za Afya  bila malipo.

Akipokea maagizo hayo Mganga Mkuu Halmashauri ya Meru Dkt.Cosmas Kilasara ameeleza kuwa  asilimia 80% ya wazee wanaokidhi  vigezo vya msamaha wa kuchangia huduma za Afya kwa  mujibu wa sera ya Afya ya mwaka 2007  wametengenezewa vitambulisho.

Dkt.Kilasara ameongeza kuwa  zoezi la kuwatambua  wazee wenye umri zaidi ya miaka 60 ambao hawana uwezo wa kipato huanzia ngazi ya vitongoji,vijiji  na Kata hivyo ametoa rai kwa viongozi wa ngazi husika kufanya utambuzi wa wazee kwa wakati ili watengenezewe vitambulisho vya matibabu bila malipo.

Jukwaa la Ushirika Wilaya ya Arumeru limeshirki uboreshaji wa huduma za Afya kwa kutoa shuka 30 zitakazo tumika katika kituo cha Afya Usa-River.

Uzinduzi wa jukwaa hilo umefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Meru ambapo Mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Arumeru.

(kushoto) kwa mkuu wa wilaya Arumeru ni Mwenyekiti wa Jukwaa la ushirika Mkoa wa Arusha Ndg. Wilibald Ngambeki na kulia ni Mwenyekiti wa Jukwaa la Wilaya ya Arumeru Mch.Anaeli Nassari.

Viongozi wa vyama vya ushirika wakati wa uzinduzi wa Jukwaa la Ushirika Wilaya ya Arumeru.

Viongozi wa vyama vya ushirika wakati wa uzinduzi wa Jukwaa la Ushirika Wilaya ya Arumeru.

Viongozi wa vyama vya ushirika wakati wa uzinduzi wa Jukwaa la Ushirika Wilaya ya Arumeru.

Mkuu wa Kitengo cha  Ushirika  Halmashauri ya Meru  Mkumbwa Mussa (kulia ) pembeni yake  ni Afisa ushirika  kwenye Halmashauri ya Meru Neema Mundo.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa