• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WAZIRI WA AFYA ZANZIBAR ATEMBELEA HOSPITALI YA WILAYA YA MERU

Imewekwa: September 5th, 2022


Waziri wa Afya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar  Mhe.Nassor  Ahmed Mazrui ametembelea Hospitali ya Wilaya ya Meru (Tengeru) ikiwa ni ziara ya kupata uzoefu wa uendeshaji wa hospitali na utoaji wa huduma za afya  ambapo  amepata fursa ya kutembelea jengo la kitengo cha dharura (EMD) ambalo Serikali ya awamu ya sita  ilitoa milioni  300 fedha kwa ajili ya ujenzi huo.


Aidha, Mhe. Mazrui amesema  mlipuko wa UVIKO 19 umekuwa funzo kwa kila Nchi kuboresha sekta za afya kwani haikuwezekana kutegemea nchi za nje kutibu wagonjwa, hivyo katika kuboresha huduma za afya Watanzania hawana budi kushiriki maendeleo kwani fedha za wafadhili zinazoletwa zinatokana na kodi wanazolipa wananchi wa nchi hizo za wafadhili " ugonjwa hausubiri, leo hii tunaona kupitia tozo za miamala ya simu tumejenga miundombinu mbalimbali" amepongeza Mhe.Mazrui

Vilevile Mhe.Waziri Mazrui amesema  Muungano  wa Tanganyika  na Zanzibar unaimarishwa kwa  vitendo na ushirikiano, kubadilishana uzoefu  na kujifunza mambo mbalimbali ambapo amesema kunamwingiliano Mkubwa kati ya Mkoa wa Arusha na Zanzibar ambapo watalii wengi hutoka Arusha kwenda Zanzibar na Zanzibar kuja Arusha.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.John Mongela amesema Serikali ya awamu ya sita inatekeleza kwa haraka utoaji wa huduma bora kwa wananchi wake ambapo kwa mwaka mmoja imetoa bilioni 3.5 fedha za tozo  kwa ajili ya ujenzi wa miundombini katika sekta ya afya,elimu pamoja na ununuzi wa vifaa tiba hivyo  ametoa wito kwa Watanzania kushirikiana kwenye gurudumu la maendeleo.

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mhandisi Richard Ruyango  kwa niaba ya Wananchi wa wilaya hiyo  ameishukuru Serikali ya awamu ya sita  kwa kuleta fedha za maendeleo ikiwa ni pamoja na fedha za tozo ambapo kwa Halmashauri hiyo Serikali katika sekta ya afya  ilitoa Milioni  300 kwa ajili ya ujenzi wa Jengo la kitengo cha dharura  EMD , Shilingi Milioni 500 kwaajili ya ujenzi wa Kituo cha Afya Mareu , Shilingi Milioni 90 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya watumishi Zahanati ya Maji ya chai.

Waziri wa Afya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar  Mhe.Nassor  Ahmed Mazrui akisaini kitabu cha wageni alipowasili  Hospitali ya Wilaya ya Meru.

Waziri wa Afya Serikali ya Zanzibar akipata maelezo toka kwa mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya ya Meru Dkt.Agness Kanusya



Picha ya Pamoja ya Mhe. Waziri Nassor Ahmed Mazrui na Viongozi mbalimbali


Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa