• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WIKI YA MAZINGIRA. MERU YAFANYA MATEMBEZI KUTOA ELIMU YA MIMEA VAMIZI

Imewekwa: June 2nd, 2022

Maadhimisho ya Wiki  ya mazingira yanaendelea katika Halmashauri ya Wilaya ya Meru ambapo siku 3,  wananchi, watumishi wa Halmashauri na wadau wa mazingira wamefanya matembezi  ya kukagua uwepo wa mimea vamizi (Invasive species) kutoka  Makao makuu ya Halmashauri  hiyo hadi geti la kwanza la hifadhi ya Taifa ya Arusha ANAPA .


Akizungumza baada ya kubaini uwepo wa mmea vamizi uitwao gugu karoti  Mtafiti Bi Neema Mtenga kutoka Taasisi ya CHANGE FOR FUTURE amesema  kemikali zinazotolewa na  mmea huo husababisha aleji ya mfumo wa hewa(respiratory  difficulties) pia hutengeneza sumu kwenye mwili wa binadamu hivyo husababisha vipelevipele (contact dermatitis) na endapo mnyama akila mmea huu kwa  50% ya chakula  inapelekea mnyama kufa au maziwa na nyama kubadilika ladha au kutokuwa naladha.


Naye ,Bw.Praygod Kweka kutoka Chuo cha NELSON MANDELA amesema mme huo unamadhara Kwenye mazingira kwani  husababisha kupotea kwa bioanuai(biodiversity  loss) pamoja na kubadilisha uoto wa asili. Pia Kwa sababu mmea huo  hutoa kemikali zinazo zuia mimea mingine iliyo karibu kumea hivyo hupelekea kupunguza uzalishaji (reduction in crop yield)

Pamoja na  kupoteza mfumo wa udongo (soil properties )


Awali, Mtafiti Neema

amesema  mpaka sasa njia mbalimbali za kuangamiza gugu karoti zilijaribiwa bila mafanikio kwa asilimia 100% hivyo njia pekee ya kuangamiza mmea huo ni kung'oa kabla halijatoa maua au mbegu na  mtu anapo ling'oa ahakikishe anavaa mfuko wa nailoni au cloves ilikuepuka madhara kwenye ngozi.


Aidha , Bi.Damar Nassari kutoka  hifadhi ya Taifa ya Arusha (ANAPA) amesema jitahada zaidi za kudhibiti mmea huo zinaitajika kwani  mmea huo ukiingia hifadhini unaweza kuleta madhara makubwa ikiwa ni pamoja na kuathiri uoto wa asili wa hifadhi  hivyo wanyama pori kukosa malisho ya kutosha ndani ya hifadhi .


Mkurugenzi mtendaji anapenda kuwashukuru wadau wote walioshiriki  siku  ya tatu ya maadhimisho ya wiki ya mazingira  ikiwa ni pamoja na Chuo kikuu cha Nelson Mandela, ANAPA, Change for future, Dunia Salama Foundation, Twice Foundation, Awe College, Twice Foundation na Ngarasero Mountain lodge.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa