• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WILAYANI ARUMERU WAPOKEA KWA SHANGWE UJIO WA SAFARI ZA TRENI BAADA YA MIAKA 30 .

Imewekwa: August 10th, 2020

WILAYANI ARUMERU WAPOKEA KWA SHANGWE UJIO WA  SAFARI ZA TRENI BAADA YA MIAKA 30 .

Wenyeviti wa Vijiji na Viongozi Wilayani Arumeru wameishukuru Serikali  Kwa kuhakikisha mwananchi wa hali ya chini anaweza kusafiri kwa gharama  nafuu na salama zaidi  kwa  Kurejesha safari za Reli Mkoani Arusha

Hayo yamejiri wakati wa ufunguzi  rasmi  wa kampeni ya uelewa kuhusu usalama katika njia ya reli na ulinzi wa miundombinu ya reli ambayo imeongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Idd Kimanta  Wilayani humu ambapo imewakutanisha Maafisa Tarafa, Wenyeviti wa Vijiji, Vitongoji, Watendaji wa Kata na Vijij vinavyopitiwa na Reli , Uongozi wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri ya Meru na Arusha pamoja na maafisa toka shirika la reli hapa Nchini (TRC).

Mhe.Kimanta amesema  Serikali imekusudia safari za treni katika Mkoa wa Arusha kuanza hivi karibuni (mwishoni mwa mwezi Agosti) ambapo wananchi wa Mkoa huo watapata fursa ya kusafiri na kusafirisha mizigo kwa gharama nafuu ikilinganishwa na gharama za usafiri mwingine.

Mkuu wa Kitengo cha habari na uhusiano   wa Shirika la Reli nchini  Bi Jamila Mbaroukamesema usafiri wa treni ni usafiri salama zaidi na wa gharama nafuu hivyo Viongozi na wananchi hawana budi  kuunga mkono juhudi za Serikali za kurejesha safari za Reli Mkoani Arusha ambazo zilisimama kwa zaidi ya Miaka 30.

Maizo Mgedzi, Mkuu wa  Kitengo cha udhibiti wa ajali katika njia ya  reli  TRC ametoa wito kwa Viongozi wa Vijiji na Vitongoji vinavyopitiwa na reli kuwakumbusha na kuwajulisha wananchi hasa walio karibu na reli ujio wa safari za Treni Mkoani Arusha  Mwezi huu ili waweze  kuwa salama na  kunufaika na usafiri huo wa gharama nafuu.

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Ndg.Jerry Muro kwa niaba ya Wananchi wa Wilaya hiyo amemshukuru Mheshimiwa Rais kwani urejeshaji wa safari hizo mkombozi kwa watanzania na kuahidi kuitunza, kuilinda na kuitumia reli hii.




Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • MAADHIMISHO WIKI YA UTYUMISHI WA UMMA 2025 DODOMA

    June 13, 2025
  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa