• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WITO WATOLEWA KWA VIONGOZI, WANANCHI KUWAPA USHIRIKIANO MAKARANI WA SENSA

Imewekwa: August 20th, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Mheshimiwa  Mhandisi Richard Ruyango ametoa wito kwa Wananchi na Viongozi  kuwapa ushirikiano Makarani wa sensa wakati wa Sensa ya watu na makazi tarehe 23 Agosti 2022.

Akizungumza na wananchi wa kata ya Usa River mara baada ya kuongoza  matembezi ya  takribani km 3,  ya kuhamasisha zoezi la Sensa ya Watu na Makazi Mhe.Ruyango ametoa wito kwa viongozi ngazi ya jamii kutoa  ushirikiano kwa makarani wa sensa watakaopita kwenye makazi  ya wananchi kuanzia tarehe 23 Agosti 2022  yani siku ya sensa ya watu na mkazi "viongozi na wananchi toeni ushirikiano kwa makarani ili sensa ifanikiwe na serikali yetu ipate takwimu sahihi katika kupanga mipango ya maendeleo" amesem Mhe. Ruyango

Mratibu wa Sensa Halmashauri ya Wilaya ya Meru Mtakwimu Ismail Issa amesema makarani wa sensa watakuwa na na vitambulisho maalum na wataambatana viongozi wa maeneo husika hivyo wananchi wanatakiwa kutoa ushirikuano  kuhakikisha wanahesabiwa kwa kutoa taarifa sahihi ambapo amehimizi taarifa zote zitakazopatikana wakati wa zoezi la Sensa ni za siri na zitatumika kwa maswala ya kitakwimu pekee .

Wakizungumza kwa nyakati tofauti wakazi wa usa River - Ngarasero  wamesema hawana budi kushiriki zoezi la sensa kwakuwa linalenga kuleta  Maendeleo na maendeleo huanzia kwa wananchi " maendeleo ya Tanzania ni maendeleo ya watanzania naomba wote tukahesabiwa nchi ipate takwimu sahihi itekeleze jukumu la kutoa huduma kulingana na idadi yetu"amesema Fatuma Juma

Sophia Said ambaye ni kiongozi wa kitongoji cha Ngarasero amesema viongozi ngazi ya jamii wamejipanga kutoa  ushirikiano kwa Makarani ili  kuhakikisha sensa ya watu na makazi inafanyika kama ilivyokusudiwa .

Awali ,Mkuu wa Wilaya ya Arumeru akiambatana na viongozi wengine ameongoza matembeze maalum ya kuhamasisha zoezi la Sensa ambayo yameanzia eneo la Makao makuu ya Halmashauri kuelekea kituo cha Leganga mpaka Usa Madukani na kuhitimishwa katika uwanja wa mpira ngarasero ambapo wananchi na wadau mbalimbali wameshiriki.

Sensa kwa maendeleo jiandae kuhesabiwaARUMERU,MERU DC TUPO TAYARI KUHESABIWA

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru akizungumza wakati wa kuhitimisha matembezi ya kuhamasisha zoezi la Sensa.



Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa