• Barua pepe |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
Meru District Council
Meru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Meru

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira na Dhima
    • Historia
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maji
      • Mipango, Takwimu na Ufatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Utumishi na Utawala
      • Usafi na mazingira
      • Ardhi na Maliasili
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Tehama
      • Manunuzi na ugavi
      • Uchaguzi
      • Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Misitu
    • Ufugaji wa Ngombe wa Maziwa
    • Ujenzi wa Kituo cha Biashara
    • Ujenzi wa Eneo la Mapumziko
    • Ujenzi wa kituo cha Mabasi cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Malori cha kisasa
    • Ujenzi wa kituo cha Michezo
    • Kilimo cha Nyanya
    • Ufugaji wa Nyuki
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • AIDS
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Miongozo
    • Fomu mbalimbali
    • Utaratibu
  • Kituo cha habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

ZIARA YA WATAALAMU WA ARDHI NA TEHAMA KATIKA KATA YA MBUGUNI NA SHAMBARAI BURKA KWA AJILI YA KUTOA ELIMU YA MFUMO WA TAUSI.

Imewekwa: May 25th, 2024

Kufuatia Agizo la Mkuu wa Wilaya Arumeru Mhe. Emmanuela Kaganda la kuwataka Wataalamu wa Divisheni ya Ardhi na Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kufika katika Kata ya Mbuguni na Shambarai Burka ili kuweza kutoa elimu na mafunzo kwa wananchi kuhusu kujisajili kwenye mfumo wa TAUSI ili waweze kununua ardhi za Serikali mahali popote pindi zinapotangazwa.

Elimu hiyo imetolewa mara baada ya Halmashauri ya Wilaya Meru kukaribia kuuza Shamba la TANZANIA PLANTATION lililopo Kata ya Mbunguni.

Zoezi hili, litawawezesha wananchi waliokaribu na shamba hilo kuwa wakwanza katika fursa hiyo ya ununuaji wa mashamba hayo yaliyo karibu na makazi yao ya kudumu.

Aidha, Mkuu wa Divisheni ya Ardhi Leonard Mpanju amefafanua na kutoa elimu dhidi ya maswala ya Ardhi na kuwataka wananchi waishio maeneo hayo kuchangamkia fursa hiyo kwani itawawezesha kupata Mashamba ya kulima karibu na makazi yao.

Katika mafunzo yaliyoendeshwa na Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA Eva Kundy, ameeleza kuwa Mfumo wa TAUSI ni mfumo utakaohitaji mwananchi kujihudumia mwenyewe kulingana na uwezo na mahitaji. Pia, amewaweka wazi kuwa mfumo huu utaondoa maswala ya Rushwa, Kujuana na kuleta usawa kwa Watanzania wote kwani Viwanja vikitangazwa mtu yeyote na mahali popote anaweza kuomba kununua kupitia mfumo huo.

Mafunzo hayo wamehusishwa wadau wa karibu wanaofanya biashara za maswala ya TEHAMA ambao ni wamiliki wa vibanda vya Utoaji huduma za kimtandao ( Stationary na Internet Cafe) kwani watakuwa chachu katika kuleta usaidizi katika swala zima la kimfumo.

Matangazo ya Kawaida

  • KUITWA KWENYE USAILI October 28, 2024
  • KUITWA KWENYE USAILI June 24, 2024
  • KALENDA YA UTEKELEZAJI WA MTAALA WA ELIMU YA AWALI NA MSINGI 2022. February 18, 2022
  • UUZAJI WA VIWANJA ENEO LA NGURUDOTO LIMEANZA. November 27, 2018
  • Tazama Vyote

Habari Mpya

  • AJIRA MPYA MERU DC WAPATIWA MAFUNZO

    April 02, 2025
  • NAIBU WAZIRI MAENDELEO YA JAMII,JINSIA WANAWAKE NA MAKUNDI MAALUMU AKAGUA MIRADI YA S.O.S

    March 15, 2025
  • MAFUNZO YA MFUMO WA TAUSI MERU DC YAFUNGWA

    February 15, 2025
  • TAHAPAO NA MERU DC WAWEKA NGUVU KWENYE KAMATI ZA MTAKUWA

    February 19, 2025
  • Tazama Vyote

Video

ELIMU YA KUKABILIANA NA TAHADHARI YA MVUA ZA EL NINO YAANZA KUTOLEWA HALMASHAURI YA MERU.
Video Zaidi

Viungo Haraka

  • Kupata Salary Slip
  • Sheria ndogo za Halmashauri ya Wilaya ya Meru

Kiungo Kuhusiana

  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Utumishi
  • Watumishi Portal
  • Tovuti ya Mkoa wa Arusha
  • Ajira Portal
  • Government Salary Slip Portal

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

Counter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Meru

    Anwani: P.o. Box 462 Usa River

    Simu ya Mezani: (+ 255) 272970482

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@merudc.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Meru. Haki zote zimehifadhiwa