Imewekwa: October 30th, 2023
Maadhimisho ya siku ya Afya na Lishe kwa Mkoa wa Arusha yameadhimishwa leo katika Hospitali ya Wilaya ya Halmashauri ya Meru yaliyoambatana na huduma mbalimbali za Afya kama upimaji wa hali ya lishe, ...
Imewekwa: October 18th, 2023
Wajumbe wa Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango wamefanya ziara ya Ukaguzi wa Mradi wa Ujenzi wa Chuo cha Ufundi stadi (Veta) kinachojengwa Kata ya Uwiro Katika Halmashauri ya Meru.
Ziara hiyo ni ut...
Imewekwa: October 7th, 2023
Wananchi wa Kata ya Mbuguni, Shambarai Burka, Majengo, Makiba na Maroroni wamepatiwa elimu ya tahadhari ya majanga ya Mvua kubwa za El Nino zinazoweza kutokea kwa mujibu wa taarifa ya Mamlaka ya Hali ...